PICHA:namna ufalme unavyoendelezwa na kuheshimiwa huko nigeria vipi bongo urudi Umangi,Machifu,Mwani, na wengine???

5 days after he was turbaned as the new Emir of Kano, Sanusi Lamido Sanusi today June 13th made his entry into the Emir Palace in Kano to ascend to the throne as the new Emir. See more photos after the cut...



PICHA:NAMNA UJENZI WA UWANJA WA SIMBA SC BUNJU UNAVYOENDELEA


Magari yakimwaga vifaa vya ujenzi na kusafisha eneo la kiwanja cha klabu ya Simba SC, Bunju mjini Dar es Salaam tayari kwa ujenzi wa Uwanja wa kisasa





credit to:Bin Zubeiry blog tembelea kwa picha zaidi

Picha namna Brazil ilivyoichapa Croatia bao 3-1

article-2656584-1EB6072F00000578-170_634x304neymar akifunga penalt ya bao la pili
Neymar the Redeemer: Brazil's No 10 strikes a pose after his second goal and looks like the famous statue in RioNeymar akishangilia moja ya magoli aliyofunga jana


A big hug from Big Phil: Luiz Felipe Scolari embraces Neymar following his equaliser for Brazilkocha wa Brazil akimkumbatia Neymar baada ya goli la kusawazisha
Running the show: Neymar (left) is jubilant after scoring Brazil's first goal of the World CupNeymar akishangilia bao lake la kwanza
Left foot forward: Neymar rifles in a shot from outside the box which sneaks into the cornerNeymar akipiga shuti ambalo lilizaa goli la kwanza
Unexpected: Marcelo (second right) steers the ball beyond his own keeper Julio Cesarbao la kujifunga la Marcelo
NYOTA aliyebeba matumaini ya Wabrazil wengi, Neymar amefunga mabao mawili usiku huu katika ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Croatia kwenye mchezo wa ufunguzi wa fainali za kombe la dunia. 
Wenyeji walijifunga mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza baada ya Marcelo kuujaza mpira nyavuni katika harakati za kuokoa na kuzua ukimya mkubwa uwanjani kwa mashabiki wa Brazil waliofurika kushuhudia timu yao..
Mambo almanusura yawe mabaya kwa Brazil  wakati Neymar alipomfanyia faulo mbaya kiungo wa Croatia Luka Modric, lakini mwamuzi Yuichi Nishimura alimzawadia kadi ya njano tu.
Baadaye Neymar alifunga bao la kusawazisha kwa shuti la mbali  na aliongeza bao la pili kwa njia ya mkwaju ya penati baada ya mwamuzi kutoa penati yenye utata kufuatia Dehan Lovren kumfanyia  madhambi Fred.
Oscar alihitimisha karamu ya mabao kwa Wabrazil na kutoka na ushindi wa kwanza katika michuano ya mwaka huu inayofanyika katika ardhi yao.
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=1982#sthash.VCJql0Gp.dpuf
NYOTA aliyebeba matumaini ya Wabrazil wengi, Neymar amefunga mabao mawili usiku huu katika ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Croatia kwenye mchezo wa ufunguzi wa fainali za kombe la dunia. 
Wenyeji walijifunga mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza baada ya Marcelo kuujaza mpira nyavuni katika harakati za kuokoa na kuzua ukimya mkubwa uwanjani kwa mashabiki wa Brazil waliofurika kushuhudia timu yao..
Mambo almanusura yawe mabaya kwa Brazil  wakati Neymar alipomfanyia faulo mbaya kiungo wa Croatia Luka Modric, lakini mwamuzi Yuichi Nishimura alimzawadia kadi ya njano tu.
Baadaye Neymar alifunga bao la kusawazisha kwa shuti la mbali  na aliongeza bao la pili kwa njia ya mkwaju ya penati baada ya mwamuzi kutoa penati yenye utata kufuatia Dehan Lovren kumfanyia  madhambi Fred.
Oscar alihitimisha karamu ya mabao kwa Wabrazil na kutoka na ushindi wa kwanza katika michuano ya mwaka huu inayofanyika katika ardhi yao.
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=1982#sthash.VCJql0Gp.dpuf
NYOTA aliyebeba matumaini ya Wabrazil wengi, Neymar amefunga mabao mawili usiku huu katika ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Croatia kwenye mchezo wa ufunguzi wa fainali za kombe la dunia. 
Wenyeji walijifunga mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza baada ya Marcelo kuujaza mpira nyavuni katika harakati za kuokoa na kuzua ukimya mkubwa uwanjani kwa mashabiki wa Brazil waliofurika kushuhudia timu yao..
Mambo almanusura yawe mabaya kwa Brazil  wakati Neymar alipomfanyia faulo mbaya kiungo wa Croatia Luka Modric, lakini mwamuzi Yuichi Nishimura alimzawadia kadi ya njano tu.
Baadaye Neymar alifunga bao la kusawazisha kwa shuti la mbali  na aliongeza bao la pili kwa njia ya mkwaju ya penati baada ya mwamuzi kutoa penati yenye utata kufuatia Dehan Lovren kumfanyia  madhambi Fred.
Oscar alihitimisha karamu ya mabao kwa Wabrazil na kutoka na ushindi wa kwanza katika michuano ya mwaka huu inayofanyika katika ardhi yao.
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=1982#sthash.VCJql0Gp.dpuf

Picha 25 baada ya moto kuteketeza soko la wamachinga Karume leo.

Image00067
Kwa mujibu wa mashuhuda kadhaa waliokuwepo katika eneo la tukio tangu moto huo unatokea, Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana ingawa wana wasiwasi na hitilafu ya  umeme iliyojitokeza usiku wa June 10.
Image00047 
Moto huo ulianza kuwaka majira ya saa 4 usiku ambapo iliwachukua zaidi ya saa moja kikoasi cha zima moto na uokoaji kufika eneo la tukio. Baadhi ya Wafanyabiashara ambao bidhaa zao zimeteketea kwa moto wamesema kuwa wamepata hasara kubwa ambayo haielezeki kwani baadhi yao wameshindwa kuokoa hata kitu kimoja.
Soko la Karume ni miongoni mwa masoko makubwa ya mitumba yanayotumiwa na wakazi wengi wa jiji la Dar es salaam na maeneo jirani kutokana na urahisi wa bei wa bidhaa zinazopatikana hapo.
Hizi ni baadhi ya picha zilizopigwa asubuhi ya leo baada ya tukio hilo ikionyesha madhara makubwa yaliyotokea baada ya ajali hiyo mbaya.
Image00050
Image00049
Image00046
Image00041
Image00038
Image00037

Image00035
Image00034
Image00033
Image00032
Image00028
Image00024
Image00011
Image00017
Image00020
Image00022
Image00009
Image00008
Image00005
Image00051
Image00063
Image00086
Image00081
Image00079
Image00077
Image00076
Image00066

Image00068
Image00073
Image00074source/credit to:milard ayo.com