Nikki Mbishi atangaza kuacha muziki, haya ndio maneno ya Chid Benz kuhusu ishu nzima
.
Chid Benz alichukua nafasi hiyo kuwataarifu mashabiki wa muziki kupitia ukurasa wa facebook na kuandika ‘Nakanusha habari za Nikki mbishi kuacha mziki,nimeongea nae kama kaka na kumgusia mengi,najua amenielewa na nimemwambia asikubali wale wanaomkubali waanze kukubali wengine.mimi nimekumbana na vingi na watu weengi waliaminishwa kama nimeshushwa kimziki,jimefanyiwa mengi ambayo kwa muda ule nsingeweza kuelezea kila mtu nini kinaendelea,so if kikitokea kibaya kinatangazwa mpk kwenye taarifa za habari mbona mziki hauchezwi?ningekua sina nguvu hio nisingesumbua watu kuniweka front page..but bado nipo na nimekomaa.na naishi na naona wanaopewa kipaumbele na najua bado mimi ni mimi.Iron
CREDIT TO:milard ayo
++BREAKING NEWZ++++Kuhusu huyu aliyeuwawa kwa risasi Mahakamani Dar es salaam leo.
Saa kadhaa zilizopita Polisi walimfyatulia risasi mtuhumiwa aliejaribu kutoroka baada ya kufikishwa kwenye Mahakama ya Kisutu Dar es salaam asubuhi ya December 31 2014.
Muda mfupi baadae Polisi ikatoa taarifa kwamba mtuhumiwa wa dawa za kulevya aliyeuwawa ni Abdul Koroma raia wa Sierra Leone na aliuwawa kwa risasi wakati akitoroka Mahakamani.
SOURCmilard ayo
Subscribe to:
Posts (Atom)
Popular Posts
-
PICHA 8: MJI WA PONGWE CITY TANGA UTAKAVYOKUWA NI NOMAA
-
SANAMU YA CRISTIANO RONALDO ILIYOZINDULIWA JANA
-
Picha 17 za Diamond hapa South Africa jinsi ilivyokua akirekodi kolabo na Mafikizolo
-
MITINDO YA NYWELE KWA AKINA DADA AMAIZING!!!!!!!!!!!!!!
-
RAIS MPYA WA ZAMBIA KATIKA SHEREHE ZA KUAPISHWA MATUKIO KATIKA PICHA
-
picha 8 jinsi vurugu za mashabiki wa simba na yanga zilizopelekea mashabiki kungoa viti
-
DIAMOND, MADEE, CHEGE NA TEMBA WAFANYA KWELI TAMASHA LA COCA COLA ZOO JANA.
-
MSANII WA BONGO ALIYEFANANA NA AKI HATIMAYE KUOA CHEKI PICHA ZA SHEREHE HIYO HAPA
-
UJUMBE WA DIAMOND KWA WANASONGEA LEO
-
DRC na Rwanda zapigana kwa siku ya 2 sababu za kupigana hizi hapa
Total Pageviews
59278
Blogger news
NANI MSANII KATI YA HAWA NDO MSANII MKALI TANZANIA KWA SASA
Translate
Blog Archive
-
►
2015
(43)
- ► 06/14 - 06/21 (1)
- ► 04/26 - 05/03 (1)
- ► 02/08 - 02/15 (8)
- ► 02/01 - 02/08 (8)
- ► 01/25 - 02/01 (12)
- ► 01/18 - 01/25 (2)
- ► 01/11 - 01/18 (8)
- ► 01/04 - 01/11 (3)
-
▼
2014
(369)
- ▼ 12/28 - 01/04 (3)
- ► 12/21 - 12/28 (1)
- ► 11/16 - 11/23 (2)
- ► 09/07 - 09/14 (5)
- ► 08/10 - 08/17 (3)
- ► 07/20 - 07/27 (1)
- ► 07/06 - 07/13 (2)
- ► 06/22 - 06/29 (4)
- ► 06/15 - 06/22 (2)
- ► 06/08 - 06/15 (16)
- ► 06/01 - 06/08 (18)
- ► 05/25 - 06/01 (25)
- ► 05/18 - 05/25 (15)
- ► 05/11 - 05/18 (10)
- ► 05/04 - 05/11 (20)
- ► 04/27 - 05/04 (11)
- ► 04/20 - 04/27 (1)
- ► 04/06 - 04/13 (2)
- ► 03/30 - 04/06 (3)
- ► 03/23 - 03/30 (2)
- ► 03/02 - 03/09 (14)
- ► 02/23 - 03/02 (28)
- ► 02/16 - 02/23 (9)
- ► 02/09 - 02/16 (33)
- ► 02/02 - 02/09 (35)
- ► 01/26 - 02/02 (29)
- ► 01/19 - 01/26 (44)
- ► 01/12 - 01/19 (16)
- ► 01/05 - 01/12 (15)
-
►
2013
(116)
- ► 12/29 - 01/05 (5)
- ► 12/22 - 12/29 (9)
- ► 12/15 - 12/22 (20)
- ► 12/08 - 12/15 (45)
- ► 12/01 - 12/08 (25)
- ► 11/24 - 12/01 (11)
- ► 11/17 - 11/24 (1)
0 comments: