Huyu ndio mwanaume aliacha ‘uume’ wake uliwe na Fisi kwa makusudi.

Screen Shot 2014-04-02 at 2.52.47 AM 
Kuna stori nyingine kwenye hii dunia huwa zinaonekana kama za kufikirika tu na pengine unaweza kushawishika kuona sio za kweli ila ukweli ni kwamba imetokea kabisa kwenye maisha hayahaya.
Baada ya agizo la mganga, Mwanaume mmoja huko Malawi amemruhusu fisi ang’ate na kuuondoa uume wake kisa anataka kuwa tajiri na kuachana na maisha ya tabu aliyoishi kwa miaka mingi.
Chamangeni Zulu akiwa hospitali baada ya tukio hilo amesema >> “nilikutana na mganga ambae aliniambia njia kubwa na nzuri kabisa ya kuwa tajiri ni kutoa sadaka sehemu za mwili wangu ambapo tarehe 24 March 2014 saa kumi jioni nilikwenda Msituni na kuvua nguo zote kama nilivyoamrishwa, nikaona fisi akija na alianza kula vidole vyangu vya mguu na kisha kuanza kuula uume wangu”
Screen Shot 2014-04-02 at 2.54.35 AM 
Pamoja na hiyo sentensi fupi ya kusisimua inayoweza kukufanya uwaze mara mbilimbili baada ya kuifikiria kwa kina, Zulu anasema hasumbuliwi yani, haimpi shida kujua kwamba hana uume na vidole vyake tena ila tu anasubiri utajiri wake kama alivyoahidiw

Picha 6 za utengenezwaji video mpya ya Ay ‘Asante’


ay4
Kutana na Ay ambae ni staa wa longtime bongoflevani alieianza safari rasmi ya bongofleva mwaka 1998 akitokea Morogoro na kuingia Dar es salaam kwa ajili ya kutafuta maisha aliyoyataka.
Hizi ni picha za video yake mpya ya ‘Asante’ ambayo itadondoka anytime soon kwenye kioo chako ambapo imefanywa nchini Kenya na director ambae mikono yake imeshawahi kufanya kazi kubwa kama za kundi la Camp Mulla.
ay3
Ay1
ay2
ay5
ay6
credit:milard ayo

Haya ndiyo mauzo ya wimbo wa 2030 wa Roma Mkatoliki kupitia Whatsapp.

whatsapp_AP 
Inawezekana kama mitandao ya kijamii ukiitumia vizuri inaweza kukupatia faida kubwa kuna watu kadhaa ambao kupitia mitandao ya kijamii wanendesha maisha yao vizuri miongoni mwao kuna jamaa mmoja anajiita dalali Mkombozi  aliwahi ku-amplify anavyoitumia Instagram kuendesha maisha yake.
ROMA 
Roma Mkatoliki leo ametoa idadi ya pesa alizowahi kuingiza kupitia wimbo wake wa 2030 ambao alianza kwa kuuza kupitia mtandao wa Whatsapp >>’2030 nilikua nauza kwa shilingi 3,000 kuna artist wanatoa album au mixtape ina nyimbo 20 anauza 5,000 ambao unakuta wanaongea huyo Roma ni nani anatoa wimbo anauza 3,000′
‘Badala ya kusaidiwa na wasanii wenzangu ndiyo wananikandia mi Tanga nina ofisi yangu na napokea album kibao nawauzia tu wana,unakuta watu wanaongea mbona wimbo wenyewe taarifa ya habari halafu anauza 3,000,kwa haraka haraka niliuza kama 1,400,000 kwa kipindi kile cha mwanzo’.
Source 255 Clouds Fm.

BUNGA LA KENYA LAPITISHA SHERIA YA KUOA MKE ZAIDI YA MMOJA

Kenyan parliament passes polygamy law

Female politicians storm out after parliament passes law that allows men to to marry as many women as they want.





Listen to this page using ReadSpeaker
Email Article
Print Article
Share article
Send Feedback
Kenya's parliament has passed a bill allowing men to marry as many women as they want, prompting a furious backlash from female politicians.
The bill, which amended existing marriage legislation, was passed late on Thursday to formalise customary law about marrying more than one person.
The proposed bill had initially given a wife the right to veto the husband's choice, but male members of parliament overcame party divisions to push through a text that dropped this clause, the AFP news agency reported.
"When you marry an African woman, she must know the second one is on the way, and a third wife... this is Africa," MP Junet Mohammed told the house, according to Nairobi's Capital FM.
As in many parts of Africa, polygamy is common among traditional communities in Kenya, as well as among the country's Muslim community, which accounts for up to a fifth of the population.
"Any time a man comes home with a woman, that would be assumed to be a second or third wife," said Samuel Chepkong'a, chairman of the Justice and Legal Affairs Committee, the Daily Nation newspaper reported.

TAZAMA PICHA ZA HARUSI YA PAUL OKOYE WA P-SQUARE ILIYOFANYIKA JANA

Harusi ilifanyika Jana jionee Picha mbali mbali hapa chini
First photos of the bride and groom: Paul Okoye & Anita Isama


 

Kenya State House Reveals The President’s Favourite Musician And It Is Not Jaguar

Kenya State House Reveals The President’s Favourite Musician And It Is Not Jaguar

uhuruKenyan President Uhuru Kenyatta, and with that I mean up to date or ‘digital’ presidents, tend to stay updated on what is new in the entertainment industry. For example, everyone knows that President Obama is a big fan of rapper Jay Z and his wife Beyonce and he dislikes one of my favorite rappers Kanye West. Kenyan President has his preferences too. While the former prime minister Raila Odinga is a big fan of Jaguar’s Kigeugeu and now Ken Wa Maria’s fundamentals, Uhuru’s taste is a little different.
Judging from his relationship with rapper Jaguar and singer Ringtone, one would think they are his favourite artistes, but as Kenyan State House spokesman revealed to Easy Fm t, that is not the case. Apparently, Uhuru Kenyatta is a big fan of local gospel music and his favourite musician is the one and only Rufftone.
“The President loves Kenyan music, Rufftone is one of his favorites. “#AskStateHouse
There you have it, consider yourself informed.

Lupita Nyong’o Now Worth 43 Million Kenyan Shillings


Lupita Nyong’o Now Worth 43 Million Kenya Shillings

lupita-nyongo-oscars-nomineeLupita Nyong’o made history when she won the coveted Oscar making her the seventh black woman to win the prestigious award. This begs the question, with such a successful acting career just how rich is Lupita Nyong’o.
Well, according to celebrity net worth, a site similar to Forbes magazine but only concentrates on celebrities and their money, Lupita is worth about 43 million shillings. Yeah, she is rich and famous. According to the website, her money has come from her acting and directing careers.
Lupita Nyong’o is a Kenyan actress and music video director who has a net worth of $500 thousand dollars. Lupita Nyong’o was born in Mexico City, Mexico, where her father was serving as a guest professor at the El Colegio de Mexico. She grew up in Nairobi, Kenya, and spent part of her junior year of high school in Mexico, studying Spanish. She went on to graduate from Hampshire College with degrees in Film and Theatre Studies. After graduating, she worked as a crew member on such films as “The Constant Gardener” and “The Namesake”, as well as directing an award-winning documentary, and the music video for “The Little Things You Do”, by Wahu. She decided to return to school to study acting, and was accepted to the Yale School of Drama. She played a variety of roles while at Yale, and won the prestigious Herschel Williams Prize in 2011.