Picha 17 za Diamond hapa South Africa jinsi ilivyokua akirekodi kolabo na Mafikizolo
Hapa ni kwenye gari safari ya kuelekea studio ndio inaanza, Mameneja Bab Tale kushoto na Salam kulia pembeni na Diamond
Diamond pamoja na mameneja wake wawili ambao ni Salam na Bab Tale waliongozana mpaka kwenye studio za msanii mkongwe aitwae Oskido ili kurekodi kolabo hiyo ya Mafikizolo, kundi la Afrika kusini lililorudi kwenye chati kupitia mikono ya Oskido.
Oskido
ni msanii mkubwa sana na mwenye uwezo hapa South Africa na anapendwa
sana ila pamoja na ukubwa wa jina lake, huwa hajiweki juu kabisa… ni
mpole na simple kila wakati, nakumbuka hapa yeye ndio aliomba kupiga
picha na Diamond.
Diamond
alipoingia studio alikua bado hajapewa topic ya wimbo, yani alikua
hajui wimbo unahusu nini ila dakika kadhaa baadae akaanza kushusha
mistari yake… alipoingia kuingiza voco ya kwanza Mafikizolo pamoja na
Producer wakampigia makofi na kusmile kuashiria kijana katishaa.
Bado jina la wimbo na tarehe ya kutoka havijajulikana ila kila kitu kikiwa tayari utakipata kupitia hapahapa
Mafikizolo na Diamond
Upande
mwingine ambao wengi hawaujui, Diamond ni mtani na anachekesha sana,
ana aina yake ya kuhadithia kitu mpaka ukacheka… ilikua goodtimes studio
kiukweli
Hapa walikua wanacheza Theo wa Mafikizolo pamoja na Diamond.
Diamond
anaipenda sana kazi yake, yani pamoja na Mafikizolo kuondoka studio
baada ya kumaliza kurekodi… Diamond aliamua kubaki kuhakikisha roho yake
imeridhika
source:milard ayo.com
Copy and Paste Kaka
ReplyDeleteshukrani nimekupata
Delete