Matokeo Kidato cha Nne 2014: Sekondari ya Kaizirege yaongoza
Shule za sekondari za binafsi zaongoza 10 bora matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwaka jana.
Akizungumza na waandishi wa habari leo ofisini kwake jijini Dar es
Salaam,Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani nchini (NECTA),Dk.Charles
Msonde amesema katika matokeo ya kidato cha nne ya mtihani wa mwaka jana
ufaulu umeongezeka kwa asilimia 12.67 ikilinganishwa na mwaka 2013.
Katika matokeo hayo msichana wa shule ya sekondari ya Baobab ,Nyakaho I.
Marungu ndio aliyeongoza mtihani huo na kufatia wavulana.
Shule za Sekondari za St.Fransis ya mkoani Mbeya wanafunzi sita na Feza
wanafunzi nane na kufanya shule hizo kuingia katika 10 bora kwa kutoa
idadi wanafunzi wengi ikilinganishwa na shule zingine.
Msonde amasema matokeo hayo yanatokana na mfumo mpya wa GPA kwa kuangalia masomo saba hivyo ufaulu umetokana na mfumo huo.
Bofya hapa
Jiridhishe kwa kutembelea NECTA
Siku hizi hakuna Divisions, na tafsiri ya GPA ni hii hapa kwenye jedwali, Distinction ndio kama Division I ukipenda.
http://www.necta.go.tz/files/utaratibu_wa_kutunuku.pdf
|
DISTINCTION |
MERIT |
CREDIT |
PASS |
FAIL |
GPA |
3.6 - 5.0 |
2.6 - 3.5 |
1.6 - 2.5 |
0.3 - 1.5 |
0.0 - 0.2 |
Qualifying Test (QT): Tembelea HAPA
0 comments: