Taarifa kamili kuhusu ajali aliyoipata Bahati Bukuku.



Muimbaji maarufu nchini wa nyimbo za injili nchini,Bahati Bukuku (40) amepata ajali akiwa katika gari alilokuwa akisafiria kuacha njia na kugonga gema, baada ya kugongwa na gari lingine linalosemekana kuwa ni fuso.
Kwa mujibu wa taarifa ya Jeshi la Polisi watu wengine waliojeruhiwa kwenye ajali hiyo mbali na Bahati Bukuku ni watu wawili na gari lililopata ajali na kusababisha majeraha
kwa watu hao ni Toyota Nadia yenye namba za usajili IT 7945.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi David Misime amesema ajali hiyo imetokea july 25 saa tatu 9:00 alfajiri katika Barabara ya Morogoro – Dodoma eneo la Ranch ya NARCO wilayani Kongwa.
Uchunguzi wa ajali hiyo nado unaendelea ikiwa ni pamoja na kutafuta gari lililowagonga.

ukweli kuhusu kipa wa Mexico Mwenye vidole sita


BqWzg71CIAAhaGC
Katika michuano ya kombe la dunia kumeibuka wachezaji wengi ambao wameonyesha uwezo mkubwa kiasi cha kuteka hisia za watu wengi, mmoja wapo ni golikipa wa Mexico Guillermo Ochoa.
Golikipa huyu alionyesha uwezo mkubwa katika mechi alizoichezea Mexico kwenye michuano ya kombe la dunia inayoendelea nchini Brazil, kabla ya timu yake kutolewa na Uholanzi katika hatua 16 bora – lakini pamoja na kuondolewa kwa timu yake bado uwezo wake umeacha gumzo kubwa sana kwenye michuano hii.
Uwezo aliouonyesha Ochoa ulipelekea kuzuka kwa taarifa kwamba golikipa huyo wa Mexico aliumbwa akiwa na vidole sita vya mkononi. Zikatolewa mpaka picha kupitia vyombo vya habari mbalimbali ambavyo vilimuonyesha Ochoa akiwa na vidole sita.
06042250-f68e-11e3-b3a2-3503811abc43_AP962717263961
Lakini ukweli ni kwamba kipa huyo ambaye kwa sasa anawindwa na vilabu vingi hana vidole sita. Picha zilizoonyeshwa na kusambazwa kwenye vyombo vya habari ni za kutengeneza.
source:millard ayo

picha:namna davido alivyopokelewa na Rais wa Rwanda


On July 4th, Rwandans celebrated their annual Liberation Day celebrations at Amahoro national stadium in Kigali. Davido was the headline act for this year and President Paul Kagame of Rwanda welcomed the BET winner with his wife and children at the airport. Wow! You go, Davido. Continue to see more photos...




The concert which started that night was headlined by Africa’s biggest act Davido. The 21 year old hit maker performed to 60, 000 excited fans. When it was time for his back to back hits Gobe, ‘Skelewu’ and ‘Aye’, the crowd went ballistic. There were 9 East African presidents at the show that night; Tanzanian President Jakaya Kikwete and Kenyan President Uhuru Kenyatta were among the presidents at the show.

After the show Davido was invited to perform Aye at the President’s home, however, no cameras were allowed during that time.

exclusive+++ hii ndio adhabu atakayopata akikutwa na hatia ya kumn’gata mchezaji mwenzake wa Italia Giorgio Chiellini..


Mchezaji wa Uruguay Luis Suarez atakabiliwa na adhabu ya kufungiwa kwa muda mrefu kucheza mechi zikiwemo za Kombe la dunia ikiwa atakutwa na hatia ya kumng’ata mchezaji mwenzake wa Italia Giorgio Chiellini.
Shirikisho la soka duniani limeanzisha uchunguzi dhidi ya mchezaji huyo  baada ya kuonekana akimng’ata mchezaji wa Italia, Giorgio Chiellini wakati wa mechi yao ya kombe la dunia.

Chiellini amedai Suarez amemng’ata katika bega lake la kushoto lakini Suarez amejitetea kuwa mchezaji huyo alijigonga kwake.
luisss
Refari wa mechi hiyo hakuchukua hatua yoyote dhidi ya Suarez.
Ikiwa atapatikana na hatia, Suarez huenda akazuiwa kucheza mechi 24 au kwa miaka miwili.
Suarez mwenyewe tayari amejitetea katika vyombo vya habari nchini Uruguay.
Suarez anasema Kuna mambo fulani ambayo hutokea uwanjani na hadhani ni vyema kuanza kuzua kashfa kutokana na mambo kama hayo.

kama wewe ni shabiki wa Rapper Bow Wow hii inakuhusu

In a message to his fans on instagram, rapper Bow Wow announced that after the BET Awards he'll no longer go by his stage name Bow Wow and instead use his real name, Shad Moss.

EXCLUSIVE PICHA 11 ZA RAIS WA NIGERIA ALIVYOSHUDIA NCHI YAKE IKIIBUKA NA USHINDI DHIDI YA BOSNIA

I was so tired last night, I slept off. Didn't watch the match. I tried but couldn't keep my eyes open..:-) Woke up this morning to hear we won. Yay! I knew we would conquer!!! Go Super Eagles!

Meanwhile, presidential spokesperson Reuben Abati released photos of President Jonathan and some of his aides watching the Nigeria - Bosnia World Cup match and then celebrating as Nigeria won by 1-0.


 

Chris Brown & Wizkid kwenye headlines kubwa nchini marekani

Hanging out with famous Hollywood people has it's perks. Wizkid was today, once again, featured on UK's Daily Mail as he hung out with Chris Brown, Karrueche Tran and Chris' entourage at the SLS Hotel in Beverly Hills yesterday. ..

Wizkid will be in LA till after the BET awards and I hear he and Chris Brown are planning to shoot a music video for their song collaboration. When this happens, you heard it here first! If it never happens..you didn't hear it here o...:-)