Alichoandika Micheal Carrick baada ya kutemwa timu ya taifa
Carrick ambaye ameachwa na nafasi yake kuitwa kiungo Jordan Henderson wa Liverpool, amesema amesikitikishwa na kuachwa na imemuumiza sana kuikosa michuano ya kombe la dunia, lakini ataishangilia kwa moyo mmoja timu yake itakapokuwa inapambana nchini Brazil.
0 comments: