DRC na Rwanda zapigana kwa siku ya 2 sababu za kupigana hizi hapa



Mapigano yameendelea kwa siku ya pili kati ya wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na wale kutoka Rwanda kwenye mpaka kati ya nchi hizo mbili.
Milio ya risasi iliyodumu karibu saa mbili iliripotiwa kusikika mapema Alhamisi.
Pande hizo zimekuwa zikishutumiana kwa kuanza mapigano.
Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo inasema kuwa vikosi vya Rwanda viliingia Mashariki mwa Congo, kumteka nyara na kumuua mwanajeshi wake, huku nayo Rwanda ikisema kuwa wanajeshi wa Congo ndio walioingia nchini mwao na kuwafyatulia risasi.
Makabiliano yalianza Jumatano katika kijiji cha Kanyesheza, kilomita 20 kutoka Goma mji mkuu wa mkoa huo na kudumu kwa saa kadhaa.
Wanajeshi hao walishambuliana kwa zana nzito za kivita, asubuhi na mapema kwa mujibu wa mmoja wa walioshuhudia makabiliano hayo.
Pande hizo mbili zimekuwa zikilaumiana huku afisaa mmoja wa Rwanda akidai kuwa wanajeshi wa DRC ndio waliowashambulia kwanza.
Hata hivyo duru zinasema kuwa hapakuwa na majeruhi ingawa wanajeshi walikuwa wanafyuatuliana risasi kiholela.
Makabiliano ya leo yamezuka baada ya pande hizo mbili kushambuliana Jumatano.
Nchi hizo mbili zimekuwa zikizozana na kulaumiana kwa uchochezi, hasa Rwanda ikidaiwa kuunga mkono harakati za waasi wa M23 nchini DRC. Waasi hao walikuwa wanadhibiti eneo la Mashariki mwa nchi kabla ya kutimuliwa na wanajeshi wa Uganda.
Mwaka jana Rwanda ilituhumu jeshi la DRC kwa kurusha makombora ndani ya nchi hiyo na hivyo ikaamua kujibu mashambulizi hayo kwa kuweka wanajeshi wake mpakani.
Rwanda mara kwa mara imekuwa ikishutumiwa kwa kuanza mizozo mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo madai inayoyakanusha.
source:bbc swahili

Brazil training camp

Strikers Oscar, left, and Neymar, centre, juggle with balls during a training session of the Brazilian national football team at the squad's Granja Comary training complex, in Teresopolis, 90 km from downtown Rio de Janeiro, on Wednesday ahead of the 2014 World Cup. Vanderlei Almeida / AFP / May 28, 2014
wachezaji wa Brazil wakifanya mazoezi
Brazil's Thiago Silva, left, is pictured next to teammates Paulinho, centre, and David Luiz during a physical test on Tuesday as Brazil prepare for the 2014 World Cup. Rafael Ribeiro / CBF / Reuters / May 27, 2014
sehemu yakufanyia mazoezi ya viungo
A handout photo released by the Brazilian Football Confederation (CBF) shows Brazil's national team player David Luiz during a medical test at Brazil's training camp in Teresopolis, Brazil, on Monday. Rafael Ribeiro / EPA / CBF / May 26, 2014
David Luiz akifanyiwa vipimo
A handout photo released by the Brazilian Football Confederation (CBF) shows Brazil's national team players Thiago Silva, far, and Dante, near, during a medical test on Monday. Rafael Ribeiro / EPA / CBF / May 26, 2014
mmoja wa wachezaji akinyiwa vipimo vya mazoezi
Brazil's Dani Alves is pictured during a physical test on Tuesday as Brazil get prepared for the 2014 World Cup that they will be hosting. Rafael Ribeiro / Reuters / CBF / May 27, 2014
Dan alves akifanyiwa vipimo vya mazoezi

PICHA 10 :hapa ndipo timu ya Taifa England imetia kambi

Inside England's training camp
sehemu yakufanyia mazoezi
Inside England's training camp
sehemu yakuoshea mikono
Inside England's training camp
sanamu katika training camp ya england
Inside England's training camp
uwanja wa kufanyia mazoezi
Inside England's training camp
sehemu ya kufanyia mazoezi
Inside England's training camp
sehemu ya kambi
Inside England's training camp
ulinzi mkali
Inside England's training camp
ufukweni zana za kivita za kihistoria
Inside England's training camp
sehemu ya uwanja wa mazoezi
Inside England's training camp
sanamu ya mfano wa simba
Inside England's training camp
ulinzi mkali
IMEANDALIWA NA MEKU INNOCENT

PICHA:hivi ndivyo viwanja kumi na mbili vya kombe la dunia 2014 Brazil



Stadium :

Maracana


(official name: Estádio Jornalista Mário Filho)
City :

Rio de Janeiro

Opened : 1950
(major renovations 2006, 2013)
Capacity : 78,838
  
  
Maracana, World Cup, Brazil
Home ground of : None (sometimes used by Botafogo, Flamengo, Fluminense and Vasco da Gama)
Matches : 7 (Final, Quarter final, Second round, 4 group matches)
Match days : 15 – 18 – 22 – 25 – 28 June and 4 – 13 July 2014

Trivia : Once the biggest stadium in the world; during the 1950 World Cup in Brazil it could hold 200,000 (!) soccer fans. Considerably smaller than before (also a lot more comfortable!), Maracana will still be the largest venue of the 2014 World Cup.


Arena Corinthians, World Cup, Brazil
  
Stadium :

Arena Corinthians

City : 
Sao Paulo
Opened : 2013
Capacity : 65,807 (20,000 temporal seating)
  
Home ground of : S.C. Corinthians Paulista
Matches : 6 (Semi-Final, Second round, 4 group matches (including opening game)
Match days : 12 – 19 – 23 – 26 June and 1 – 9 July 2014

Trivia : This soccer stadium will be the long awaited large new home ground of Corinthians, after Flamengo from Rio the most popular team in Brazil. It was more likely the famous Morumbi stadium, home of FC Sao Paulo, would be included in the 2014 World Cup venues. However, the management of FC Sao Paulo did not want to cover the expenses necessary to adapt its soccer stadium to meet FIFA requirements.


Stadium :
Estádio Nacional
City : Brasilia
Opened : 2013
Capacity : 70,042
  
  
National Stadium, World Cup, Brazil
Home ground of : Legiaõ F.C
Matches : 7 (Third Place, Quarter-Final, Second round, 4 group matches)
Match days : 15 – 19 – 23 – 26 – 30 June and 5 – 12 July 2014

Trivia : The old soccer stadium at this site was Estádio Mané Garrincha. The new stadium will be entirely rebuild. The National Stadium in Brasilia will be the second largest soccer stadium in Brazil.


Mineirao stadium, World Cup, Brazil
  
Stadium :
Mineirão

(Official name: Estádio Governador Magalhães Pinto)
City :Belo Horizonte
Opened : 1965
(renovations 2013)
Capacity : 66,805
  
Home ground of : Clube Atlético Mineiro and Cruzeiro EC
Matches : 6 (Semi-Final, Second round, 4 group matches)
Match days : 14 – 17 – 21 – 24 – 28 June and 8 July 2014

Trivia : After renovating Morumbi Stadium in Sao Paulo – which is not a World Cup venue – Mineirão became the second largest soccer stadium in Brazil. However, the stadium in Belo Horizonte will lose this rank at the start of the World Cup 2014 to Estádio Nacional in Brasilia.


Stadium :
Castelão

(official name: Estádio Plácido Aderaldo Castelo)
City :  Fortaleza
Opened : 1973
(major renovations 2002)
Capacity : 64,846
  
  
Castelao, World Cup, Brazil
Home ground of : Fortaleza
Matches : 6 (Quarter-final, Second round, 4 group matches)
Match days : 14 – 17 – 21 – 24 – 29 June and 4 July 2014

Trivia : Castelão translates as ‘Big castle’. The soccer stadium is located in a city which name means ‘Fortress’...


Arena Fonte Nova, World Cup, Brazil
  
Stadium :
Arena Fonte Nova
(official name: Estádio Octávio Mangabeira)
City : Salvador
Opened : 2013
Capacity : 48,747
  
Home ground of : None (sometimes used by Bahia and Vitoria)
Matches : 6 (Quarter-final, Second round, 4 group matches)
Match days : 13 – 16 – 20 – 25 June and 1 – 5 July 2014

Trivia : The official name of this soccer stadium is after the governor of Bahia at the time the preceding stadium was inaugurated (1951). Fonte Nova (‘New Fountain’) comes from the location which is close to a lake with some large fountains.


Stadium :
Estádio Beira-Rio

(official name: Estádio José Pinheiro Borda)
City : Porto Alegre
Opened : 1969
(renovations 2013)
Capacity : 48,849
  
  
Beira-Rio Stadium, World Cup, Brazil
Home ground of : S.C. Internacional
Matches : 5 (Second round, 4 group matches)
Match days : 15 – 18 – 22 – 25 – 30 June 2014

Trivia : Only in Porto Alegre there was a fierce debate which soccer stadium would become venue at the World Cup 2014. The other big stadium is of Inter’s arch rival Grêmio FC, which construction was finished in 2012 and is bigger and some say more suitable for the World Cup tournament than the Beira-Rio stadium...


Arena Pernambuco, World Cup, Brazil
  
Stadium :
Arena Pernambuco

(also known as Arena Cidade da Copa)
City :Recife
Opened : 2013
Capacity : 44,248
  
Home ground of : None
Matches : 5 (Second round, 4 group matches)
Match days : 14 – 20 – 23 – 26 – 29 June 2014

Trivia : Like in the old days, Recife and Olinda were quarrelling over who would be one of the host cities of the World Cup 2014. Ultimately, the city of São Lourenco da Mata was chosen as a compromise, inconveniently at 25 km/ 15 miles from the city centre of Recife.


Stadium :
Arena das Dunas
City : Natal
Opened : 2013
Capacity : 42,086
  
  
Arena das Dunas, World Cup, Brazil
Home ground of : América F.C.
Matches : 4 group matches
Match days : 13 – 16 – 19 – 24 June 2014

Trivia : This soccer stadium in Northeast Brazil was named after the huge sand dunes which the area of Natal is famous for.


Arena Amazonia, World Cup, Brazil
  
Stadium :
Arena Amazônia

(official name: Estádio Vivaldo Lima)
City :Manaus
Opened : 2014
Capacity : 42,374
  
Home ground of : None
Matches : 4 group matches
Match days : 14 – 18 – 22 – 25 June 2014

Trivia : Manaus has hardly a football tradition; local soccer teams only attract a few thousand fans. Hence the name, this soccer stadium is more of a marketing tool in promoting the Amazon as a tourist destination. Arena Amazonia is destined to become one of the ‘white elephants’ of the World Cup 2014 (probable others are the ones in Natal and Brasilia).


Stadium :
Arena Pantanal
City : Cuiaba
Opened : 2014
Capacity : 42,968
  
  
Arena Pantanal, World Cup, Brazil
Home ground of : None
Matches : 4 group matches
Match days : 13 – 17 – 21 – 24 June 2014

Trivia : Located in an eco-conscious part of the country, the construction of the Arena Pantanal is carried out completely environment friendly. After the tournament the soccer stadium will be altered into a multipurpose complex.


Arena da Baixada, World Cup, Brazil
  
Stadium :
Arena da Baixada

(official name: Estádio Joaquim Américo Guimarães)
City :Curitiba
Opened : 1999
(renovations 2013)
Capacity : 41,456
  
Home ground of : Atlético Paranaense
Matches : 4 group matches
Match days : 16 – 20 – 23 – 26 June 2014

Picha 17 za Diamond hapa South Africa jinsi ilivyokua akirekodi kolabo na Mafikizolo

2
Hapa ni kwenye gari safari ya kuelekea studio ndio inaanza, Mameneja Bab Tale kushoto na Salam kulia pembeni na Diamond
Hatimae mpango wa Mafikizolo wa South Africa ambao ni mastaa wa hit single ya ‘khona’ waliochukua tuzo mbili kwenye MTV Africa music awards 2014 kufanya kolabo na Diamond umefanikiwa kwenye usiku wa June 9 2014.
Diamond pamoja na mameneja wake wawili ambao ni Salam na Bab Tale waliongozana mpaka kwenye studio za msanii mkongwe aitwae Oskido ili kurekodi kolabo hiyo ya Mafikizolo, kundi la Afrika kusini lililorudi kwenye chati kupitia mikono ya Oskido.
3


4
9
Oskido ni msanii mkubwa sana na mwenye uwezo hapa South Africa na anapendwa sana ila pamoja na ukubwa wa jina lake, huwa hajiweki juu kabisa… ni mpole na simple kila wakati, nakumbuka hapa yeye ndio aliomba kupiga picha na Diamond.
8
Diamond alipoingia studio alikua bado hajapewa topic ya wimbo, yani alikua hajui wimbo unahusu nini ila dakika kadhaa baadae akaanza kushusha mistari yake… alipoingia kuingiza voco ya kwanza Mafikizolo pamoja na Producer wakampigia makofi na kusmile kuashiria kijana katishaa.
7 
Bado  jina la wimbo na tarehe ya kutoka havijajulikana ila kila kitu kikiwa tayari utakipata kupitia hapahapa
6
5
16
Mafikizolo na Diamond
15
14
Upande mwingine ambao wengi hawaujui, Diamond ni mtani na anachekesha sana, ana aina yake ya kuhadithia kitu mpaka ukacheka… ilikua goodtimes studio kiukweli
13
Hapa walikua wanacheza Theo wa Mafikizolo pamoja na Diamond.
12
11
10
21
Diamond anaipenda sana kazi yake, yani pamoja na Mafikizolo kuondoka studio baada ya kumaliza kurekodi… Diamond aliamua kubaki kuhakikisha roho yake imeridhika
20 
source:milard ayo.com

PICHA KIBAO ZIPO HAPA HARUSI YA MBUNGE JOSHUA NASSARI NA ANANDE NNKO MERU,ARUSHA



 MBUNGE WA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI MHE. JOSHUA NASSARI NA MKEWE ANANDE NKO WAKIWA TAYARI KUINGIA KATIKA KANISA LA KIPENTEKOSTE LA KILINGA, MERU - ARUSHA

 WENYEJI WA SHUGHULI HIYO WAKIWA WAMEPENDEZA KATIKA VAZI LA SUTI
 MH. JOSHUA NASSARI AKIWA AMEINGIA KANISANI
 BI. HARUSI ANANDE NNKO AKIJONGEA KANISANI
 MAHARUSI WAKIVALISHANA PETE





 MAHARUSI WAKISAINI VYETI VYAO VYA NDOA


 WAZAZI WA MAHARUSI



 MBUNGE JOSHUA NASSARI NA MKEWE ANANDE NNKO WAKISHIKILIA ZAWADI YAO YA NG'OMBE ILIYOTOLEWA NA WAUMINI WA KANISA LA KILINGA AMBAKO IBADA YA NDOA ILIFANYIKA

 BABA MZAZI WA JOSHUA NASSARI, MZEE SAMWEL NASSARI AKIWAPONGEZA MAHARUSI

 MAHARUSI WAKIAGA NA KUELEKEA KATIKA VIWANJA VYA USA RIVER ACADEMY

 MSAFARA UKIANZA



 SWAGGZ



 KAMA KAWA MAHARUSI WAKIWAKILISHA

 MADEREVA WA BODABODA NAO NDANI YA MSAFARA
HAWA PIA WAKISINDIKIZA KWA MIGUU
source:mamon'go