exclusive+++ hii ndio adhabu atakayopata akikutwa na hatia ya kumn’gata mchezaji mwenzake wa Italia Giorgio Chiellini..


Mchezaji wa Uruguay Luis Suarez atakabiliwa na adhabu ya kufungiwa kwa muda mrefu kucheza mechi zikiwemo za Kombe la dunia ikiwa atakutwa na hatia ya kumng’ata mchezaji mwenzake wa Italia Giorgio Chiellini.
Shirikisho la soka duniani limeanzisha uchunguzi dhidi ya mchezaji huyo  baada ya kuonekana akimng’ata mchezaji wa Italia, Giorgio Chiellini wakati wa mechi yao ya kombe la dunia.

Chiellini amedai Suarez amemng’ata katika bega lake la kushoto lakini Suarez amejitetea kuwa mchezaji huyo alijigonga kwake.
luisss
Refari wa mechi hiyo hakuchukua hatua yoyote dhidi ya Suarez.
Ikiwa atapatikana na hatia, Suarez huenda akazuiwa kucheza mechi 24 au kwa miaka miwili.
Suarez mwenyewe tayari amejitetea katika vyombo vya habari nchini Uruguay.
Suarez anasema Kuna mambo fulani ambayo hutokea uwanjani na hadhani ni vyema kuanza kuzua kashfa kutokana na mambo kama hayo.

kama wewe ni shabiki wa Rapper Bow Wow hii inakuhusu

In a message to his fans on instagram, rapper Bow Wow announced that after the BET Awards he'll no longer go by his stage name Bow Wow and instead use his real name, Shad Moss.

EXCLUSIVE PICHA 11 ZA RAIS WA NIGERIA ALIVYOSHUDIA NCHI YAKE IKIIBUKA NA USHINDI DHIDI YA BOSNIA

I was so tired last night, I slept off. Didn't watch the match. I tried but couldn't keep my eyes open..:-) Woke up this morning to hear we won. Yay! I knew we would conquer!!! Go Super Eagles!

Meanwhile, presidential spokesperson Reuben Abati released photos of President Jonathan and some of his aides watching the Nigeria - Bosnia World Cup match and then celebrating as Nigeria won by 1-0.


 

Chris Brown & Wizkid kwenye headlines kubwa nchini marekani

Hanging out with famous Hollywood people has it's perks. Wizkid was today, once again, featured on UK's Daily Mail as he hung out with Chris Brown, Karrueche Tran and Chris' entourage at the SLS Hotel in Beverly Hills yesterday. ..

Wizkid will be in LA till after the BET awards and I hear he and Chris Brown are planning to shoot a music video for their song collaboration. When this happens, you heard it here first! If it never happens..you didn't hear it here o...:-)


Picha: Wasanii wa Kili Music Tour wawalivyowasili Songea

IMG_6478
Wasanii watakaopanda jukwaani katika tamasha la ziara ya Kili Music Tour wamewasili Songea asubuhi ya leo kwa ajili ya onyesho hilo. Wasanii hao walioongozana na meneja wa Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe waliwasili kwa ndege maalum wakitokea mkoani Dodoma ambako jana walishiriki shughuli ya kitaifa iliyoandaliwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Baada ya kuwasili uwanjani moja kwa moja ya wasanii hao walienda Jogoo FM ambako walifanyiwa mahojiano kabla ya kwenda uwanjani kufanya majaribio ya sauti na jukwaa na baadae kwenda hotelini kwa ajili ya kupumzika kabla ya show kuanza. Hizi ni baadhi ya picha:

Meneja wa Kilimanjaro Premium Lager George Kavishe alikuwa rubani msaidizi
Meneja wa Kilimanjaro Premium Lager George Kavishe alikuwa rubani msaidizi
Henry Mdimu aliamua kuonyesha anavyomsubiria kwa hamu Shilole
Henry Mdimu aliamua kuonyesha anavyomsubiria kwa hamu Shilole
Linex akishuka kwenye ndege
Linex akishuka kwenye ndege
Malkia Khadija Kopa akishuka kwenye ndege iliyowaleta wasanii toka Dodoma
Malkia Khadija Kopa akishuka kwenye ndege iliyowaleta wasanii toka Dodoma
Mwasiti akishuka kwa umakini ngazi za ndege
Mwasiti akishuka kwa umakini ngazi za ndege
Diamond Platnumz akiteta jambo na Ommy Dimpoz huku akishuka kwenye ndege
Diamond Platnumz akiteta jambo na Ommy Dimpoz huku akishuka kwenye ndege
Pozi kwa pozi kwenye ngazi za ndege
Pozi kwa pozi kwenye ngazi za ndege
Shilole
Shilole
Ben Pol akipokelewa na Innocent Nganyagwa ambaye ndiye msimamizi wa wasanii katika Kili Tour
Ben Pol akipokelewa na Innocent Nganyagwa ambaye ndiye msimamizi wa wasanii katika 
Kili Tour
Gnako Warawara
Gnako Warawara
Safari ya kutoka nje ya uwanja 
Safari ya kutoka nje ya uwanja
Mwasiti akiwaongoza wenzake kutoka nje ya uwanja
Mwasiti akiwaongoza wenzake kutoka nje ya uwanja
IMG_6536
Diamond akitoka jengo la abiria waliowasili
Diamond akitoka jengo la abiria waliowasili
GNako akiingia ndani ya Tour Bus
GNako akiingia ndani ya Tour Bus
Linex
Linex
Ben Pol Akiingia kwenye basi
Ben Pol Akiingia kwenye basi
Nikkki wa Pili na wasanii wengine ndani ya Jogoo FM
Nikkki wa Pili na wasanii wengine ndani ya Jogoo FM
Ommy Dimpoz akihojiwa ndani ya Jogoo FM
Ommy Dimpoz akihojiwa ndani ya Jogoo FM

picha: Kili Music Tour Songea ilivyobamba

IMG_6657


Wakazi wa Songea wanashuhudia burudani toka kwa wakali wa muziki nchini katika Kili Music Tour ambayo inaendelea hivi sasa uwanja wa Majimaji. Hiki ndicho kinachojiri hivi sasa.

Mashabiki wakiendelea kukata tiketi za kuingia uwanja wa Majimaji
Mashabiki wakiendelea kukata tiketi za kuingia uwanja wa Majimaji
Bia moja ya bure kwa kila shabiki anaekata tiketi ya kuingia ndani
Bia moja ya bure kwa kila shabiki anaekata tiketi ya kuingia ndani
IMG_6620
Eneo maalum la vinywaji na vyakula kwa mashabiki waliojitokeza uwanjani
Eneo maalum la vinywaji na vyakula kwa mashabiki waliojitokeza uwanjani
Tayari mizuka ya Kili Music Tour imeanza uwanja wa Majimaji
Tayari mizuka ya Kili Music Tour imeanza uwanja wa Majimaji
Eneo la backstage litakalotumiwa na wasanii
Eneo la backstage litakalotumiwa na wasanii
Dullah na Zembwela wanaendelea kufanya amsha amsha kwa kuwapatia mashabiki bia za bure
Dullah na Zembwela wanaendelea kufanya amsha amsha kwa kuwapatia mashabiki bia za bure
IMG_6702
Kili Music Tour Songea inafunguliwa nae Shilole
Kili Music Tour Songea inafunguliwa nae Shilole
Backstage: Ben Pol akisubiri kupanda jukwaani
Backstage: Ben Pol akisubiri kupanda jukwaani
Malkia wa mipasho Khadija Kopa akiwarusha roho maelfu waliojitokeza uwanja wa Majimaji
Malkia wa mipasho Khadija Kopa akiwarusha roho maelfu waliojitokeza uwanja wa Majimaji
Mashabiki wakiendelea kushangweka na rusha roho ya malkia wa mipasho
Mashabiki wakiendelea kushangweka na rusha roho ya malkia wa mipasho
Backstage: Profesa Jay na Ben Pol
Backstage: Profesa Jay na Ben Pol
Mwasiti jukwaani na mmoja ya mashabiki waliopata bahati ya kuitwa kuimba nae
Mwasiti jukwaani na mmoja ya mashabiki waliopata bahati ya kuitwa kuimba nae
IMG_6840
Linex mjeda akiwarusha mashabiki na nyimbo zake kali
Linex mjeda akiwarusha mashabiki na nyimbo zake kali
Backstage: Meneja wa Kili George Kavishe akiwa na Joh Makini pamoja na Ommy Dimpoz
Backstage: Meneja wa Kili George Kavishe akiwa na Joh Makini pamoja na Ommy Dimpoz
IMG_6897
Zamu ya mkali wa R&B Ben Pol kuwaimbisha mashabiki
Zamu ya mkali wa R&B Ben Pol kuwaimbisha mashabiki
Dimpoz Pozi kwa pozi akiendeleza burudani
Dimpoz Pozi kwa pozi akiendeleza burudani
Mashabiki wakiomba kupewa jaketi la Ommy Dimpoz
Mashabiki wakiomba kupewa jaketi la Ommy Dimpoz
Ommy Dimpoz akiimba kwa hisia kali wimbo wake wa Nani Kama Mama.
Ommy Dimpoz akiimba kwa hisia kali wimbo wake wa Nani Kama Mama.
Wadau mbalimbali wakiwa na meneja wa Kili George Kavishe
Wadau mbalimbali wakiwa na meneja wa Kili George Kavishe
Hakuna Songea bila ngoma ya lizombe ambayo ilitangulia kumkaribisha mtoto wa nyumbani
Hakuna Songea bila ngoma ya lizombe ambayo ilitangulia kumkaribisha mtoto wa nyumbani
Profesa Jay jukwaani katika uwanja wa nyumbani
Profesa Jay jukwaani katika uwanja wa nyumbani
IMG_7056
Diamond platnumz akithibitisha kwa nini alipata tuzo saba katika tuzo za Kili
Diamond platnumz akithibitisha kwa nini alipata tuzo saba katika tuzo za Kili
IMG_7072 IMG_7082IMG_7102
Na hatimaye baada ya makelele mengi ya mashabiki Diamond alimpandisha mpenzi wake Wema Sepetu
Na hatimaye baada ya makelele mengi ya mashabiki Diamond alimpandisha mpenzi wake Wema Sepetu







DJ Summer wa East Africa Radio kazini
DJ Summer wa East Africa Radio kazini
Zamu ya Weusi kuifunga show
Zamu ya Weusi kuifunga show
IMG_7169
Shabiki akipeperusha kitambaa cheusi kuonyesha mapenzi yake kwa Weusi waliokuwa jukwaani
Shabiki akipeperusha kitambaa cheusi kuonyesha mapenzi yake kwa Weusi waliokuwa jukwaani
Umati huu uliojitokeza kwa wingi uwanja wa Majimaji ulitoka ukiwa umeridhika na bonge la show lililotolewa na wasanii wote waliopanda jukwaani
Umati huu uliojitokeza kwa wingi uwanja wa Majimaji ulitoka ukiwa umeridhika na bonge la show lililotolewa na wasanii wote waliopanda jukwaani