Hii ndiyo safari ya mwisho ya Muongozaji na Muigizaji Adam Kuambiana.
Mei 20 saa 9 alasiri ndiyo safari ya mwisho ya Muongozaji na Muigizaji kutoka kiwanda cha filamu Tanzania Adam Philip Kuambiana ambaye amepumzishwa kwenye makaburi ya Kinondoni,mahali ambapo pia amezikwa Muongozaji mwingine na Muigizaji Steven Kanumba.
source:milard ayo
0 comments: