KIBOKO YAO CONCERT PICHAZ
.
Usiku wa Jan 24
ni siku ambayo waimbaji mbalimbali watanzania walishare jukwaa moja
kwenye tamasha la Kiboko yao Concert lililoandaliwa na kampuni ya simu
za mkononi Tigo.
Miongoni mwa waimbaji waliotumbuiza akiwemo;Diamond
Platnumz, Shaa, Vanessa Mdee, Joh Makini, Stamina, Young Dee, Nikki wa
pili, Ben pol, Fid Q, Ay, Mwana FA, Khadija Kopa, Linah na wengineo.
Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye tamasha hilo.
Shaa.
.
.
Ben Pol.
Young Dee.
Watu wa nguvu.
Fid Q.
Young Killer.
Professor Jay.
Professot Jay.
.
.
.
Joh Makini.
Nikki wa pili.
Joh Makini.
Nikki wa pili na G Nako wakitoa burudani ya nguvu.
.
Nikki wa pili.
.
Weusi wakitoa burudani ya nguvu.
Vanessa Mdee akiwa on the Stage.
AY akitoa burudani ya nguvu.
.
.
.
.
Watu wa nguvu
Dj Mafuvu kutoka EATV akiwa na watu wa nguvu.
Ay na Mwana FA on the Stage.
Mwana FA akitoa burudani.
AY.
Jux on the Stage.
Jux.
H Baba na Mkewe Frola Mvungi.
Queen Darling na Kalala Junior.
.
credit:millard ayo
0 comments: