welcome to meku innocent's blog
  • Home
  • michezo
  • makala
    • Afya
    • Michezo
    • Maisha
  • Entertainment
    • Bongo
    • Nigeria
    • U.S.A

mh shukuru kawambwa ajibu mapigo ya nape

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk Shukuru Kawambwa amejibu madai yaliyotolewa hivi karibuni na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye kwamba ni mmoja wa mawaziri walioshindwa kazi hivyo kustahili kung’olewa.
Katika madai yake Nape alisema Dk Kawambwa ameshindwa kusimamia vyema madai ya walimu na kwamba akiwa Waziri wa Miundombinu. Waziri huyo aliingia mkataba na kampuni ya ujenzi ya Progressive iliyopewa zabuni ya kujenga barabara ya Namtumbo hadi Tunduru wakati mkandarasi huyo hana uwezo wa kuijenga.
Nape alikaririwa akisema kwamba umefika wakati kwa waziri huyo na wenzake wa Fedha, Dk William Mgimwa; Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza na Naibu wake Adam Malima kuhojiwa na Kamati Kuu (CC) ya chama hicho.
Akijibu madai hayo mjini Bagamoyo jana Dk Kawambwa alisema anasubiri kwa hamu kuitwa CC kueleza tuhuma zinazomkabili huku akijigamba kuwa yeye ni mti wenye matunda ndiyo maana unapigwa mawe.
“Kuna maneno yanayoendelea hivi sasa eti na mimi mbunge wenu natajwa kuwa fisadi kwa mkataba wa ukandarasi wa barabara, siyo kweli. Wakati mkataba ule unasainiwa mimi nilishatoka kwenye Wizara ya Miundombinu, sihusiki kabisa na mkataba ule,” alisema na Dk Kawambwa
Source : Mwananchi/milard ayo


Unknown

Share story

0 comments:

Newer Post Home Older Post
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

    no image SANAMU YA CRISTIANO RONALDO ILIYOZINDULIWA JANA
    no image Picha 17 za Diamond hapa South Africa jinsi ilivyokua akirekodi kolabo na Mafikizolo
    PICHA 8: MJI WA PONGWE CITY TANGA UTAKAVYOKUWA NI NOMAA PICHA 8: MJI WA PONGWE CITY TANGA UTAKAVYOKUWA NI NOMAA
    no image MITINDO YA NYWELE KWA AKINA DADA AMAIZING!!!!!!!!!!!!!!
    no image RAIS MPYA WA ZAMBIA KATIKA SHEREHE ZA KUAPISHWA MATUKIO KATIKA PICHA
    picha 8 jinsi vurugu za mashabiki wa simba na yanga zilizopelekea mashabiki kungoa viti picha 8 jinsi vurugu za mashabiki wa simba na yanga zilizopelekea mashabiki kungoa viti
    no image picha: gari jipya la Jux mwimbaji wa bongofleva? picha 14 ziko hapa
    no image PICHA:hivi ndivyo viwanja kumi na mbili vya kombe la dunia 2014 Brazil
    no image ROSTAM KUUZA HISA ZAKE VODACOM
    PICHA:MTOTO WA WAYNE ROONEY NDANI YA JEZI YA FC BARCELONA. PICHA:MTOTO WA WAYNE ROONEY NDANI YA JEZI YA FC BARCELONA.

Total Pageviews

Advertisements!

Advertisements!

BLOGGER /CONTACT ME (mekuinno56@gmail.com))

BLOGGER /CONTACT ME (mekuinno56@gmail.com))

Advertisements!

Advertisements!

Blogger news

UPO WAPI by PIUS B on Grooveshark

NANI MSANII KATI YA HAWA NDO MSANII MKALI TANZANIA KWA SASA

Translate

Blog Archive

  • ►  2015 (43)
    • ►  06/14 - 06/21 (1)
    • ►  04/26 - 05/03 (1)
    • ►  02/08 - 02/15 (8)
    • ►  02/01 - 02/08 (8)
    • ►  01/25 - 02/01 (12)
    • ►  01/18 - 01/25 (2)
    • ►  01/11 - 01/18 (8)
    • ►  01/04 - 01/11 (3)
  • ►  2014 (369)
    • ►  12/28 - 01/04 (3)
    • ►  12/21 - 12/28 (1)
    • ►  11/16 - 11/23 (2)
    • ►  09/07 - 09/14 (5)
    • ►  08/10 - 08/17 (3)
    • ►  07/20 - 07/27 (1)
    • ►  07/06 - 07/13 (2)
    • ►  06/22 - 06/29 (4)
    • ►  06/15 - 06/22 (2)
    • ►  06/08 - 06/15 (16)
    • ►  06/01 - 06/08 (18)
    • ►  05/25 - 06/01 (25)
    • ►  05/18 - 05/25 (15)
    • ►  05/11 - 05/18 (10)
    • ►  05/04 - 05/11 (20)
    • ►  04/27 - 05/04 (11)
    • ►  04/20 - 04/27 (1)
    • ►  04/06 - 04/13 (2)
    • ►  03/30 - 04/06 (3)
    • ►  03/23 - 03/30 (2)
    • ►  03/02 - 03/09 (14)
    • ►  02/23 - 03/02 (28)
    • ►  02/16 - 02/23 (9)
    • ►  02/09 - 02/16 (33)
    • ►  02/02 - 02/09 (35)
    • ►  01/26 - 02/02 (29)
    • ►  01/19 - 01/26 (44)
    • ►  01/12 - 01/19 (16)
    • ►  01/05 - 01/12 (15)
  • ▼  2013 (116)
    • ►  12/29 - 01/05 (5)
    • ►  12/22 - 12/29 (9)
    • ►  12/15 - 12/22 (20)
    • ►  12/08 - 12/15 (45)
    • ►  12/01 - 12/08 (25)
    • ▼  11/24 - 12/01 (11)
      • Picha 8 zipo hapa  za Uwanja mpya wa soka uliobo...
      • Matokeo ya Arsenal, Barcelona, AC Milan, Chelsea...
      • mh shukuru kawambwa ajibu mapigo ya nape Waziri...
      • MKESHA WA SHARO MILIONEA LEO. Ilikua ni mwezi no...
      • Azam Academy yaweka rekodi Kili Stars  Wachezaj...
      • CANAVARO,MSUVA,CHUJI NA JERY TEGETE WAONGEZA MIKAT...
      • FAHAMU SABABU ZILIZOPELEKEA KAKA WA P-SQUARE(Jude ...
      •  mambo 50 usiyoyajua kuhusu rapa 50cent Complex...
      • MEKUINNOCENT VICHWA VYA  MAGAZETI YA LEO NOV 24 "k...
      • TAZAMA P-SQUARE WALIVYOWASILI DAR Mahojiano na...
      • P-SQURE WAONYESHA HURUMA ZAO KWA WTOTO WALEMAVU KW...
    • ►  11/17 - 11/24 (1)

About Me

  • Unknown
  • Unknown

Followers

Advirtise with us

Copyright © 2013 mekuinocent