HII NDO KUFURU YA PESA YA MCHEZAJI..'SAMUEL ETO’O' HAYA NDIYO MAGARI YA KIFAHARI ANAYOMILIKI NA ANAYOPENDELEA

Eto'o hivi karibuni
ameonekana kutisha sana katika kabumbu analocheza huko ulaya. Tarehe 19
mwezi huu aliweka historia kubwa katika maisha yake kwa kupiga Hat trick
kwa kuifuna Manchester united bao 3-1 na kufanikiwa kunyakuwa mpira
kama zawadi.Pia Kati ya Vitu samwel Eto'o anavyovipenda katika maisha yake ni kuwa
na Magari ya Kifahari. Hayo hapochini ni baadhi ya Magari ya kifahari
anayomiliki mchezaji huyu mkameruni. Nukuu Eto'o said: "I
like to have a few cars because it gives me choice and it doesn't hurt
anybody. To give happiness, the first thing is to be happy oneself, and I
am."
![]() |
Maybach Xenatec Coupe worth £750,000
Aston Martin V12 Zagato, worth at £450,000
Bugatti Veyron worth at £1.55m
Credit:charleslimelight.blog
0 comments: