makala fupi Kuhusu mpango wa TFF kutaka kubadili jina la Taifa Stars
Katika kipindi cha maswali na majibu kilichofanyika jumanne iliyopita, TFF kupitia Raisi wake ilisema kwamba taratibu za mwanzoni tayari zimeanza.
Utaratibu mzima utahusisha jamii. Umma utatumika katika kutoa mawazo ya jina jipya kupitia SMS.
Suala la kutaka kubadili jina kwa hakika litaleta mjadala kwenye jamii. Kwa muda mrefu kumekuwepo na baadhi ya watu ambao wamekuwa wakiliponda jina hilo wakisema limekaa kitaratibu na halitishi.
source:milard ayo
0 comments: