PICHA:YALIVYOKUWA MAZISHI YA MSANII WA KUNDI LA UIGIZAJI KOMEDI LA FUTUHI MZEE DUDE LEO JIJINI MWANZA.
![]() |
| Awali kabla sala maalum ilifanyika. |
![]() |
| Wadau wa tasnia ya habari, wakiwemo waburudishaji wameshiriki ibada na mazishi ya Mzee Dude. |
![]() |
| Mwili wa aliyekuwa mwigizaji wa kundi la uchekeshaji wa luninga la FUTUHI marehemu Omary Majuto al maarufu kwa jina la Mzee Dude ukiondoshwa nyumbani kwake kuelekea malaloni. |
![]() |
| Marafiki ndugu jamaa wote wamejitokeza hapa kumsindikiza mpendwa wao. |
![]() |
| Wananchi wakishiriki mazishi ya aliyekuwa mwigizaji wa kundi la uchekeshaji wa luninga la FUTUHI marehemu Omary Majuto al maarufu kwa jina la Mzee Dude |
![]() |
| Katika mazishi hayo Beat Agenda iliwakilishwa naye DVJ Bavon (mwenye skafu na kofia kushoto). |
![]() |
| Hatua ya mwisho. |
![]() |
| Dj John Lyatow wa Club Villa akiwa na wadau wengine walioifahamu kazi ya marehemu. |
![]() | |||||||||
| Baadhi ya watoto wa marehemu wakijumuika na wajukuu na marafiki wengine wa marehemu katika sala ya kuhitimisha maziko kifamilia.credit:g sengo |























0 comments: